// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
MANCHESTER UNITED YAITANDIKA BURNLEY 3-1 OLD TRAFFORD - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEMANCHESTER UNITED YAITANDIKA BURNLEY 3-1 OLD TRAFFORD - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
MANCHESTER UNITED YAITANDIKA BURNLEY 3-1 OLD TRAFFORD
TIMU ya Manchester United imeichapa Burnley mabao 3-1 katika mchezo wa Ligi Kuubya England leo Uwanja wa Old Trafford Jijini Manchester. Mabao ya Man United yamefungwa na Mason Greenwood dakika ya 48 na 84 na Edinson Cavani dakika ya 90 na ushei, wakati la Burnley limefungwa na James Tarkowski dakika ya 50. Kwa ushindi huo, Man United imefikisha pointi 66 na sasa inazidiwa pointi nane na mahasimu wao wa Jiji, Manchester City baada ya wote kucheza mechi 32.
Rivers: Ibas moves to restore peace
-
• Meets monarchs, council chiefs • Pleads for deescalation of tension
From Tony John, Port Harcourt There was uneasy calm in Rivers State
yesterday as ...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment