// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
MAN CITY YAPUNGUZWA KASI, YACHAPWA 2-1 NA LEEDS UNITED ETIHAD - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEMAN CITY YAPUNGUZWA KASI, YACHAPWA 2-1 NA LEEDS UNITED ETIHAD - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
MAN CITY YAPUNGUZWA KASI, YACHAPWA 2-1 NA LEEDS UNITED ETIHAD
VINARA, Manchester City wamepunguzwa kasi baada ya kuchapwa 2-1 na Leeds United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad. Mabao yote ya Leeds yamefungwa na Stuart Dallas dakika ya 42 na 90, wakati la Man City limefungwa na Ferran Torres dakika ya 76. Pamoja na kufungwa, Man City inaendelea kuongoza Ligi Kuu kwa pointi 14 zaidi ya mahasimu wao wa Jiji, Manchester United ambao hata hivyo wana mechi mbili mkononi
F1 in talks to stage Bangkok grand prix
-
Formula 1 chief executive Stefano Domenicali meets with the prime minister
of Thailand to discuss plans for a street-circuit race.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment