// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
CAF YARUHUSU MASHABIKI 10,000 KUINGIA UWANJA WA MKAPA MECHI YA SIMBA SC NA AS VITA JUMAMOSI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINECAF YARUHUSU MASHABIKI 10,000 KUINGIA UWANJA WA MKAPA MECHI YA SIMBA SC NA AS VITA JUMAMOSI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
CAF YARUHUSU MASHABIKI 10,000 KUINGIA UWANJA WA MKAPA MECHI YA SIMBA SC NA AS VITA JUMAMOSI
SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limeiruhusu timu ya Simba kuingiza mashabiki 10,000 katika mechi yao ya Kundi D Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya AS Vita ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) itakayochezwa Jumamosi Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam. Hatua hiyo inafuatia maombi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na mchezo huo utaonyeshwa moja kwa moja na chaneli ya ZBC 2 inayopatikana kwenye kisimbuzi cha Azam Tv. Simba inayoongoza Kundi kwa pointi zake 10, tatu zaidi ya mabingwa watetezi, Al Ahly ya Misri inahitaji sare tu kujikatia tiketi ya Robo Fainali. AS Vita ni ya tatu ikiwa na pointi nne, mbele ya El Merreikh ya Sudan inayoshika mkia ikiwa na pointi moja tu.
PDP crisis won’t stop its victory in 2027-Pearse
-
• Coalition for 2027 dead on arrival A public affairs analyst and Convener
of the Reset Lagos Peoples Democratic Party (PDP), Dr Adetokunbo Pearse,
has s...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment