Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Liverpool dakika za 71 na 90 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Southampton, mabao mengine yakifungwa na Alex Oxlade-Chamberlain dakika ya 47 na Jordan Henderson dakika ya 60 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Anfield leo. Ushindi huo, unaifanya Liverpool ifikishe pointi 73 katika mchezo wa 25 na kutanua uongozi wake sasa ikiizidi pointi 22 Manchester City inayofuatia kwa pointi zake 51 za mechi 24 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dani Alves is told he would be 'KILLED' in Brazil as he is heckled and
jeered after being spotted in Barcelona following court hearing as
disgraced star appeals conviction for rape
-
The former Barcelona player was released from Brians 2 prison on Monday
after 15 months spent behind bars awaiting his trial for raping a woman in
December...
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment