Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Liverpool dakika za 71 na 90 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Southampton, mabao mengine yakifungwa na Alex Oxlade-Chamberlain dakika ya 47 na Jordan Henderson dakika ya 60 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Anfield leo. Ushindi huo, unaifanya Liverpool ifikishe pointi 73 katika mchezo wa 25 na kutanua uongozi wake sasa ikiizidi pointi 22 Manchester City inayofuatia kwa pointi zake 51 za mechi 24 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
TOM RYAN: God save hurling... I nearly puked up my dinner watching RTÉ
pundits talk about 'systems'. Galway were a shambles, Limerick should have
won by 30
-
If we expect to see an improvement in hurling and prevent no contests
happening, then look at the management and coaching 'systems' in the top
countries.
25 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment