Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Liverpool dakika za 71 na 90 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Southampton, mabao mengine yakifungwa na Alex Oxlade-Chamberlain dakika ya 47 na Jordan Henderson dakika ya 60 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Anfield leo. Ushindi huo, unaifanya Liverpool ifikishe pointi 73 katika mchezo wa 25 na kutanua uongozi wake sasa ikiizidi pointi 22 Manchester City inayofuatia kwa pointi zake 51 za mechi 24 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBA legend Charles Barkley stuns ESPN viewers with outrageous Cardi B
comment during halftime show
-
A short clip of the rapper in full flow was shown during the halftime
interval on ESPN, prompting Barkley to chime in with a comment that left
his cohosts ...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment