Kocha mpya wa Arsenal, Mikel Arteta akifurahia na wachezaji wake baada ya ushindi wa 2-0 dhidi ya Manchester United usiku wa jana Uwanja wa Emirates kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England, mabao ya Nicolas Pepe dakika ya nane na Sokratis Papastathopoulos dakika ya 42 wakiuanza mwaka mpya vizuri PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England's ring of steel at risk as Mexicans LEAK their team hotel and abuse
them on arrival ahead of World Cup last-16 clash
-
Thomas Tuchel and his staff are preparing the players for severe disruption
during the night after Mexican fans made a cacophony in the streets to
deprive ...
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment