Mshambuliaji Anthony Martial akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Manchester United dakika ya 29 ikiibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Manchester City leo Uwanja wa Etihad. Bao la kwanza la Manchester United lilifungwa na Marcus Rashford kwa penalti dakika ya 23 baada ya yeye mwenyewe kuangushwa na Bernardo Silva, wakati la Man City limefungwa na Nicolas Otamendi dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fired minor league ump sues MLB, claiming he was sexually harassed by
female colleague because he's bisexual and faced discrimination from
illegal quota system that promotes women and minorities
-
A fired minor league umpire sued Major League Baseball on Wednesday,
claiming he was sexually harassed by a female umpire and discriminated
against because...
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment