Mshambuliaji Anthony Martial akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Manchester United dakika ya 29 ikiibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Manchester City leo Uwanja wa Etihad. Bao la kwanza la Manchester United lilifungwa na Marcus Rashford kwa penalti dakika ya 23 baada ya yeye mwenyewe kuangushwa na Bernardo Silva, wakati la Man City limefungwa na Nicolas Otamendi dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Trade disruption from Iran war ‘not good for the British economy’, Reeves
says
-
The Chancellor called for rapid de-escalation of the conflict to protect
the UK economy.
34 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment