Karim Benzema akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid bao la pili dakika ya 79 kufuatia kumsetia Raphael Varane kufunga la kwanza dakika ya 37 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Espanyol kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Santiago Bernabeu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Carlos Tevez rushed to hospital in Buenos Aires after suffering chest
pains... with the ex-Man United and Man City forward kept in overnight
-
The 40-year-old, one of only 14 footballers to play for both Manchester
United and Manchester City, spent the night at a clinic in the
neighbourhood of San...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment