Gabriel Martinelli akishangilia baada ya kuifungia Arsenal mabao mawili dakika ya 13 na 16 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Standard Liège kwenye mchezo wa Kundi F UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Emrates. Mabao mengine ya Arsenal yalifungwa na Joe Willock dakika ya 22 na Dani Ceballos dakika ya 57 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Stephen A. Says Lakers Should Consider LeBron James Trade to Knicks for
Picks, Player
-
Could LeBron James finally be destined to play in New York City? During
Saturday's episode of The Stephen A. Smith Show, Smith cast doubt on the
Los Angeles…
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment