Michy Batshuayi akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la nne dakika ya 89 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Southampton leo Uwanja wa St. Mary's, Hampshire. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Tammy Abraham dakika ya 24, Mason Mount dakika ya 17 na N'Golo Kanté 40, wakati la Southampton limefungwa na Danny Ings dakika ya 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL GM Confused by Falcons' Michael Penix Jr. Draft Pick, Says Team Has
'Needs Now'
-
Most head coaches and general managers spoken to by The Athletic's Dianna
Russini believe the Atlanta Falcons' No. 8 pick of quarterback Michael
Penix Jr. ...
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment