Michy Batshuayi akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la nne dakika ya 89 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Southampton leo Uwanja wa St. Mary's, Hampshire. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Tammy Abraham dakika ya 24, Mason Mount dakika ya 17 na N'Golo Kanté 40, wakati la Southampton limefungwa na Danny Ings dakika ya 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Pentagon says US industry still years from matching Ukraine's wartime output
-
By Mike Stone WASHINGTON, July 27 (Reuters) - The Pentagon official tasked
with building a domestic drone industry said on Monday the United States is
stil...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment