Michy Batshuayi akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la nne dakika ya 89 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Southampton leo Uwanja wa St. Mary's, Hampshire. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Tammy Abraham dakika ya 24, Mason Mount dakika ya 17 na N'Golo Kanté 40, wakati la Southampton limefungwa na Danny Ings dakika ya 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WHAT A TURN-OFF: The BBC are outbid for exclusive live coverage of
Commonwealth Games in Glasgow by subscription channel TNT Sports
-
The BBC have been replaced as live broadcaster for the Commonwealth Games,
with TNT Sports confirmed as exclusive rights holder for Glasgow 2026.
44 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment