• HABARI MPYA

    Sunday, October 06, 2019

    BATSHUAYI AFUNGA CHELSEA YAICHAPA SOUTHAMPTON 4-1

    Michy Batshuayi akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la nne dakika ya 89 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Southampton leo Uwanja wa St. Mary's, Hampshire. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Tammy Abraham dakika ya 24, Mason Mount dakika ya 17 na N'Golo Kanté 40, wakati la Southampton limefungwa na Danny Ings dakika ya 30 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BATSHUAYI AFUNGA CHELSEA YAICHAPA SOUTHAMPTON 4-1 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top