Refa Mswisi, Fedayi San akimuonyesha kadi nyekundu Cenk Tosun wa Uturuki dakika ya 60 baada ya kwenda kujibizana na mashabiki aliodai walikuwa wanamtukana baba yake na mjomba wake wakati wa mchezo wa kirafiki wa kimataifa usiku wa jana dhidi ya Tunisia uliomalizika kwa sare ya 2-2 Uwanja wa Geneve, Carouge. Mabao ya Uturuki yalifungwa na Tosun kwa penalti dakika ya 54 na Caglar Soyuncu dakika ya 90, wakati ya Tunisia yalifungwa na Anice Badri dakika ya 56 na Ferjani Sassi dakika ya 79 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Invincibles This Week: Two draws, but two to go...
-
Take a look at what was going on around the world and on the pitch 20 years
ago this week during our Invincibles campaign
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment