Refa Mswisi, Fedayi San akimuonyesha kadi nyekundu Cenk Tosun wa Uturuki dakika ya 60 baada ya kwenda kujibizana na mashabiki aliodai walikuwa wanamtukana baba yake na mjomba wake wakati wa mchezo wa kirafiki wa kimataifa usiku wa jana dhidi ya Tunisia uliomalizika kwa sare ya 2-2 Uwanja wa Geneve, Carouge. Mabao ya Uturuki yalifungwa na Tosun kwa penalti dakika ya 54 na Caglar Soyuncu dakika ya 90, wakati ya Tunisia yalifungwa na Anice Badri dakika ya 56 na Ferjani Sassi dakika ya 79 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The most dramatic promotion ever! York City back in the EFL after
103rd-minute equaliser... breaking the hearts of Rochdale - who thought
their goal had won it just moments before and celebrated with a pitch
invasion
-
The pitch at the Crown Oil Arena had only just been cleared of Rochdale
fans celebrating what appeared to be another dramatic late winner by
Emmanuel Diese...
59 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment