Waziri wa Mambo ya Ndani, Mheshimiwa Dk. Mwigulu Lameck Nchemba (kulia) akifuatilia kwa makini kabisa mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation Cup (ASFC) kati ya timu ya Singida United na Mtibwa Sugar Uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha leo
Waziri Mwigulu Lameck Nchemba pia ni Rais wa Singida United ambayo leo imelambwa 3-2 na Mtibwa Sugar
Waziri Mwigulu Nchemba akizungumza na Mkurugenzi wa Singida United wakati mchezo ukiendelea dakika za mwishoni
Trump will welcome Iran at World Cup - Infantino
-
US President Donald Trump has said Iran are "welcome" to take part in this
summer's World Cup despite the countries being at war, according to Fifa
preside...
56 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment