Mshambuliaji Neymar aliyekuwa majeruhi tangu mwanzoni mwa mwaka, akishangilia baada ya kuifungia bao zuri Brazil dakika ya 69 kwa pasi ya Philippe Coutinho ikiilaza Croatia 2-0 leo Uwanja wa Anfield, Liverpool katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa kujiandaa na Kombe la Dunia. Bao lingine la Brazil lilifungwa na Roberto Firmino dakika ya 90 na ushei, akimalizia pasi ya Casemiro PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fantasy Alert: Jets Reportedly Buzzing About Malachi Corley amid Deebo
Samuel Comp
-
Astute fantasy managers looking to get an early start on planning their
drafts will be interested to know that Malachi Corley wasted no time making
an…
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment