Mshambuliaji Neymar aliyekuwa majeruhi tangu mwanzoni mwa mwaka, akishangilia baada ya kuifungia bao zuri Brazil dakika ya 69 kwa pasi ya Philippe Coutinho ikiilaza Croatia 2-0 leo Uwanja wa Anfield, Liverpool katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa kujiandaa na Kombe la Dunia. Bao lingine la Brazil lilifungwa na Roberto Firmino dakika ya 90 na ushei, akimalizia pasi ya Casemiro PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NANS Ondo to host 2026 entrepreneurship summit in honour of Tunji-Ojo
-
The National Association of Nigerian Students, (NANS), Ondo State Joint
Campus Council is set to host its 2026 Entrepreneurship Summit aimed at
promoting...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment