Mshambuliaji Neymar aliyekuwa majeruhi tangu mwanzoni mwa mwaka, akishangilia baada ya kuifungia bao zuri Brazil dakika ya 69 kwa pasi ya Philippe Coutinho ikiilaza Croatia 2-0 leo Uwanja wa Anfield, Liverpool katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa kujiandaa na Kombe la Dunia. Bao lingine la Brazil lilifungwa na Roberto Firmino dakika ya 90 na ushei, akimalizia pasi ya Casemiro PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal do NOT look like champions in waiting: Why Declan Rice is a concern
for Mikel Arteta and the biggest issue the Gunners boss must solve if they
are to beat Man City to the title, writes CRAIG HOPE
-
CRAIG HOPE: The good news for Mikel Arteta is that there are only four
league games to play, not 14. It is a small enough number to negotiate
through grit,...
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment