Cristiano Ronaldo akipiga tik tak mazoezini leo kujiandaa na mchezo wa La Liga dhidi ya mahasimu wao wa Jiji, Atletico Madrid kesho Uwanja wa Santiago Bernabeu. Ronaldo alifunga kwa tik tak kama hiyo katika mechi dhidi ya Juventus katikati ya wiki Ligi ya Mabingwa Ulaya mjini Turin PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool unveil permanent Diogo Jota memorial at Anfield on the eve of the
first anniversary of his death
-
Reds supporters paid their respects to Jota throughout the 2025-26 season,
singing his name in the 20th minute of every match, while his No 20 shirt
was al...
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment