Mshambuliaji Mfaransa, Alexandre Lacazette akinyoosha vidole juu kushangilia baada ya kuifungia mabao mawili Arsenal dakika za 85 na 89 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya West Ham United kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates, London. Mabao mengine ya Arsenal yalifungwa na Nacho Monreal dakika ya 51 na Aaron Ramsey dakika ya 82, wakati la West Ham limefungwa na Marko Arnautovic dakika ya 64 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nato says 'no provision' to expel members after report US could seek to
suspend Spain
-
An internal Pentagon email reportedly outlines options to punish allies
over a perceived lack of support for Iran war.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment