Mshambuliaji wa Yanga, Obrey Chirwa akiwatoka wachezaji wa Mbeya City katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1
Kiungo wa Yanga, Yussuf Mhilu akimtoka beki w Mbeya City
Kiungo wa Yanga, Juma Mahadhi akitafuta maarifa ya kumpita mchezaji wa Mbeya City
Beki wa Yanga, Gardiel Michael akipambana na mchezaji wa Mbeya City
Kikosi cha Mbeya City FC kabla ya mchezo wa jana
Kikosi cha Yanga SC kanla ya mchezo wa jana
Former Liverpool star Fernando Torres mourns the death of his father as he
is flooded with messages of support from his former team-mates
-
Fernando Torres has been flooded with messages of support after announcing
that his father, Jose, has died in a post on social media.
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment