Wachezaji wa PSG wakishangilia baada ya ushindi wa 7-1 dhidi ya Monaco jana Uwanja wa Parc des Princes mjini Paris uliowahakikishia taji la ubingwa wa Ligi Kuu ya Ufaransa, maarufu kama Ligue 1. Mabao ya Monaco jana yalifungwa na Giovani Lo Celso, Angel Di Maria kila mmoja mawili, Edinson Cavani, Radamel Falcao aliyejifunga na Julian Draxler, wakati la Monaco lilifungwa na Rony Lopes PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'He's going off!' - England strike after Australia make review error
-
England's Brydon Carse dismisses Jake Weatherald lbw for one, but replays
show the decision should have been overturned as Australia are made to
regret the...
17 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment