Wachezaji wa PSG wakishangilia baada ya ushindi wa 7-1 dhidi ya Monaco jana Uwanja wa Parc des Princes mjini Paris uliowahakikishia taji la ubingwa wa Ligi Kuu ya Ufaransa, maarufu kama Ligue 1. Mabao ya Monaco jana yalifungwa na Giovani Lo Celso, Angel Di Maria kila mmoja mawili, Edinson Cavani, Radamel Falcao aliyejifunga na Julian Draxler, wakati la Monaco lilifungwa na Rony Lopes PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Accused WH correspondents’ dinner attacker is tutor and computer programmer
from California
-
WASHINGTON (AP) — Social media posts that appear to match the California
man arrested Saturday in the shooting at the White House correspondents’
dinner sh...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment