David Silva na Raheem Sterling wakishangilia baada ya wote kufunga katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Swansea City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Silva alifunga dakika ya 12 na Sterling dakika ya 16, wakati mabao mengine yamefungwa na Kevin De Bruyne dakika ya 54, Bernardo Silva dakika ya 64 na Gabriel Jesus dakika ya 88 baada ya kukosa penalty dakika ya 64 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Michael Penix Jr. Disappointed with 4.46-Second 40-Yard Dash: 'Should've
Been a 4.4'
-
Former Washington quarterback Michael Penix Jr. wasn't impressed with his
40-yard dash time of 4.46 seconds at the school's pro day on Thursday.
"Should've…
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment