Victor Moses akipongezwa na wenzake Alvaro Morata, Cesar Azpilicueta na Pedro baada ya kuifungia Chelsea bao la ushindi dakika ya 69 ikiwalaza 2-1 wenyeji, Burnley katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Turf Moor, Burnley. Burnley walianza kujifunga kupitia kwa beki wao, Kevin Long dakika ya 20 kabla ya Ashley Barnes kuisawazishia Burnley dakika ya 64 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Christian Eriksen speaks out on his shocking collapse as he is discharged
from hospital - and says it was 'very different from 2021' - as Danish
pundit tells him: Retire for your wife's sake
-
Christian Eriksen has been discharged from hospital. In a statement
released this afternoon he said: 'Receiving a shock from my ICD has had a
major impact'.
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment