Victor Moses akipongezwa na wenzake Alvaro Morata, Cesar Azpilicueta na Pedro baada ya kuifungia Chelsea bao la ushindi dakika ya 69 ikiwalaza 2-1 wenyeji, Burnley katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Turf Moor, Burnley. Burnley walianza kujifunga kupitia kwa beki wao, Kevin Long dakika ya 20 kabla ya Ashley Barnes kuisawazishia Burnley dakika ya 64 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chargers GM Eyes More Than 'Fair Trade' to Deal No. 5 Pick in 2024 NFL Draft
-
The Los Angeles Chargers could be willing to give up their No. 5 pick in
next week's NFL draft, but general manager Joe Hortiz wants more than just
a "fair…
33 minutes ago
0 comments:
Post a Comment