Kiungo Mfaransa, Paul Pobga (kushoto) akimpongeza mshambuliaji Mbelgiji, Romelu Lukaku baada ya kuifungia Manchester United bao la pili dakika ya 70 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, AFC Bournemouth Uwanja wa Vitality, Bournemouth, Dorset, Bao la kwanza la United lilifungwa na Chris Smalling dakika ya 28 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
State police bill will be passed this week – Bamidele
-
Leader of the Senate, Opeyemi Bamidele, has disclosed that the Senate would
this week begin fast-tracking the constitutional amendment process for the
es...
24 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment