Kiungo Mfaransa, Paul Pobga (kushoto) akimpongeza mshambuliaji Mbelgiji, Romelu Lukaku baada ya kuifungia Manchester United bao la pili dakika ya 70 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, AFC Bournemouth Uwanja wa Vitality, Bournemouth, Dorset, Bao la kwanza la United lilifungwa na Chris Smalling dakika ya 28 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
What happens when Man United finally win five in a row? Viral fan reveals
his plans to stay relevant once his haircut challenge is ended by the Red
Devils
-
Frank Ilett - better known as The United Strand - has been growing out his
now-mop-like hair since October 2024, a period during which United have
failed t...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment