Winga wa zamani wa Newcastle United, Florian Thauvin akishangilia baada ya kuifungia Olympique Marseille bao la kwanza dakika ya 15 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Salzburg kwenye mchezo wa Nusu Fainali ya kwanza ya UEFA ya Europa League leo Uwanja wa Stade Vélodrome mjin Marseille. Bao la pili la Marseille limefungwa na Clinton N'Jie dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Pascal Siakam Wows NBA Fans as Haliburton, Pacers Beat Lillard, Bucks
Without Giannis
-
Damian Lillard helped the Milwuakee Bucks steal Game 1 of their Eastern
Conference first-round playoff series against the Indiana Pacers on Sunday
without…
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment