Winga wa zamani wa Newcastle United, Florian Thauvin akishangilia baada ya kuifungia Olympique Marseille bao la kwanza dakika ya 15 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Salzburg kwenye mchezo wa Nusu Fainali ya kwanza ya UEFA ya Europa League leo Uwanja wa Stade Vélodrome mjin Marseille. Bao la pili la Marseille limefungwa na Clinton N'Jie dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
🏆 Champions League returns: all you need to know about the last 16
-
The UEFA Champions League enters its most exciting phase. After a draw that
resulted in matchups worthy of an early final, the 16 best teams on the
contine...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment