Winga wa zamani wa Newcastle United, Florian Thauvin akishangilia baada ya kuifungia Olympique Marseille bao la kwanza dakika ya 15 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Salzburg kwenye mchezo wa Nusu Fainali ya kwanza ya UEFA ya Europa League leo Uwanja wa Stade Vélodrome mjin Marseille. Bao la pili la Marseille limefungwa na Clinton N'Jie dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nato says 'no provision' to expel members after report US could seek to
suspend Spain
-
An internal Pentagon email reportedly outlines options to punish allies
over a perceived lack of support for Iran war.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment