Wachezaji wa Barcelona wakifurahia na taji lao la Kombe la Mfalme, maarufu kama Copa del Rey baada ya ushindi wa 5-0 dhidi ya Sevilla kwenye fainali Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid usiku wa Jumamosi. Mabao ya Barca wakitwaa taji la nne mfululizo la michuano hiyo yamefungwa na Luis Suarez mawili dakika za 14 na 40, Lionel Messi dakika ya 31, Andres Iniesta dakika ya 52 na Philippe Coutinho dakika ya 69 kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
3 Reasons XPOF is Risky and 1 Stock to Buy Instead
-
Xponential Fitness’s stock price has taken a beating over the past six
months, shedding 39.2% of its value and falling to $4.98 per share. This
was partly ...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment