Wachezaji wa Barcelona wakifurahia na taji lao la Kombe la Mfalme, maarufu kama Copa del Rey baada ya ushindi wa 5-0 dhidi ya Sevilla kwenye fainali Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid usiku wa Jumamosi. Mabao ya Barca wakitwaa taji la nne mfululizo la michuano hiyo yamefungwa na Luis Suarez mawili dakika za 14 na 40, Lionel Messi dakika ya 31, Andres Iniesta dakika ya 52 na Philippe Coutinho dakika ya 69 kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Burna Boy’s grandfather hails Nigeria’s dominance in Afrobeat
-
Veteran broadcaster and music executive, Benson Idonije, has praised
Nigeria’s continued leadership in Afrobeat music, saying the country
remains the dri...
51 seconds ago



.png)
0 comments:
Post a Comment