Wachezaji wa Barcelona wakifurahia na taji lao la Kombe la Mfalme, maarufu kama Copa del Rey baada ya ushindi wa 5-0 dhidi ya Sevilla kwenye fainali Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid usiku wa Jumamosi. Mabao ya Barca wakitwaa taji la nne mfululizo la michuano hiyo yamefungwa na Luis Suarez mawili dakika za 14 na 40, Lionel Messi dakika ya 31, Andres Iniesta dakika ya 52 na Philippe Coutinho dakika ya 69 kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Alphonso Davies 'is nearing a summer move to Real Madrid amid contract
standoff with Bayern Munich'... as the player's agent slams the club's
negotiating tactics after 'attacks' on the player
-
Alphonso Davies has been issued with a contract ultimatum by Bayern Munich,
with the player's representative hitting out at the club for their 'unfair'
neg...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment