Patrick Van Aanholt akishangilia na mchezaji mwenzake, Wilfried Zaha baada ya kuifungia bao la nne Crystal Palace katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Leicester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Selhurst Park. Mabao mengine ya Palace yamefungwa na Zaha dakika ya 17, James McArthur dakika ya 38, Ruben Loftus-Cheek dakika ya 81, Van Aanholt dakika ya 84 na Christian Benteke dakika ya 90 kwa penalti huku Leicester City ikimaliza pungufu baada ya Marc Albrighton kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 56 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Premier League icon looks unrecognisable in this throwback snap... so can
you figure out who the former star, who has been back in the headlines this
week, is?
-
The former midfielder, who enjoyed plenty of success in their career, will
welcome his third child later this year - 18 years after the last - after
it was...
48 minutes ago
0 comments:
Post a Comment