Patrick Van Aanholt akishangilia na mchezaji mwenzake, Wilfried Zaha baada ya kuifungia bao la nne Crystal Palace katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Leicester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Selhurst Park. Mabao mengine ya Palace yamefungwa na Zaha dakika ya 17, James McArthur dakika ya 38, Ruben Loftus-Cheek dakika ya 81, Van Aanholt dakika ya 84 na Christian Benteke dakika ya 90 kwa penalti huku Leicester City ikimaliza pungufu baada ya Marc Albrighton kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 56 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gov Alia ascents to electricity law, says law to deliver reliable
electricity, stimulate economic devt
-
Governor Hyacinth Alia has signed into law, the Benue State Electricity
Law, 2026.
The post Gov Alia ascents to electricity law, says law to deliver reli...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment