Winga wa Simba SC, Shiza Kichuya (kulia) akiuchukua mpira kiufundi dhidi ya kiungo wa Yanga SC, Juma Mahadhi katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Simba ilishinda 1-0
Mshambuliaji wa Simba SC, Emmanuel Okwi akipasua katikati ya mabeki wa Yanga, Kelvin Yondan (kushoto) na Andrew Vincent 'Dante' (kulia)
Mawinga, Shiza Kichuya wa Simba SC (kushoto) na Yussuf Mhiulu wa Yanga (kulia) wakigombea mpira
Mfungaji wa bao pekee la Simba jana, Erasto Nyoni (katikati) akijivuta kupiga mpira dhidi ya mshambuliaji wa Yanga, Obrey Chirwa. Kushoto na refa msaidizi namba mbili, Mohammed Mkono wa Tanga
Kiungo wa Simba, Jonas Mkude akimiliki mpira mbele ya kiungo wa Yanga, Ibrahim Ajib
Ibrahim Ajib wa Yanga akimtoka mshambuliaji Mghana wa Simba, Nicholaus Gyan anayetumika kama beki kwa sasa
Obrey Chirwa akimtoka Erasto Nyoni katika mchezo wa jana
Nahodha wa Simba, John Bocco akimtoka Ibrahim Ajib jana
Kikosi cha Simba SC kabla ya mchezo wa jana
Kikosi cha Yanga SC kabla ya mchezo wa jana
Christian Eriksen speaks out on his shocking collapse as he is discharged
from hospital - and says it was 'very different from 2021' - as Danish
pundit tells him: Retire for your wife's sake
-
Christian Eriksen has been discharged from hospital. In a statement
released this afternoon he said: 'Receiving a shock from my ICD has had a
major impact'.
4 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment