Mashabiki wa Simba SC wakipiga saluti kufurahia ushindi wa timu yao wa mabao 2-0 dhidi ya Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara leo Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam
Ilikuwa saluti maalum kuwabeza Tanzania Prisons, ambayo ni timu ya Jeshi la Magereza nchini
Shabiki maarufu wa Simba, Naima Salum (kushoto) ambaye pia ni msanii mwigizaji na mpenzi wa zamani wa kipa wa zamani wa Simba, Peter Manyika sasa anadakia Singida United akiwa na rafiki yake
Mashabiki wa Simba SC wakiendeleza furaha yao leo
Hawa nao walibeba bango lililoandikwa Maharage ya Mbeya Maji Mara Moja, kuibeza timu kutoka Mbeya
Mashabiki hawa wengine wakiendeleza furaha yao kwa namna yao
Head century drives England closer to Ashes defeat
-
England are pushed towards the precipice of the fastest Ashes series defeat
in more than 100 years as a Travis Head century maintains Australia's grip
on t...
52 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment