Mashabiki wa Simba SC wakipiga saluti kufurahia ushindi wa timu yao wa mabao 2-0 dhidi ya Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara leo Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam
Ilikuwa saluti maalum kuwabeza Tanzania Prisons, ambayo ni timu ya Jeshi la Magereza nchini
Shabiki maarufu wa Simba, Naima Salum (kushoto) ambaye pia ni msanii mwigizaji na mpenzi wa zamani wa kipa wa zamani wa Simba, Peter Manyika sasa anadakia Singida United akiwa na rafiki yake
Mashabiki wa Simba SC wakiendeleza furaha yao leo
Hawa nao walibeba bango lililoandikwa Maharage ya Mbeya Maji Mara Moja, kuibeza timu kutoka Mbeya
Mashabiki hawa wengine wakiendeleza furaha yao kwa namna yao
Kim Kardashian jokes she would NOT date Tom Brady because he reminds her of
stepdad Caitlyn Jenner at Netflix Roast
-
After taking to the stage in Los Angeles to a chorus of boos, the SKIMS
founder shutdown speculation she and the former quarterback had been an
item as she...
49 minutes ago
0 comments:
Post a Comment