Kiungo Mbrazil, Fernando Luiz Rosa maarufu kama Fernandinho akikimbia na mchezaji mwenzake, Raheem Sterling aliyeseti mabao matatu katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, West Ham United baada ya kufunga bao la nne dakika ya 64 Uwanja wa London leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya mabingwa hao wa mapema yamefungwa na Leroy Sane dakika ya 13, Pablo Zabaleta aliyejifunga dakika ya 27 na Gabriel Jesus dakika ya 53, wakati la West Ham limefungwa na Aaron Cresswell dakika ya 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Is grass court video proof Nick Kyrgios will take on Bernard Tomic in $2million showdown?
-
Nick Kyrgios has been spotted training on a grass tennis court in the wake
of rival Bernard Tomic's challenge to take part in a winner-takes-all
showdown w...
Dakika 14 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni