Wachezaji wa Manchester United wakiwa wanyonge baada ya bao pekee la Jay Rodriguez dakika ya 73 ambalo limeipa ushindi wa 1-0 West Bromwich Albion leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Old Trafford, hivyo kuwafanya Manchester City wathibitishwe kuwa mabingwa wapya baada ya matokeo hayo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Spalletti wants two top players in each role at Juventus
-
Luciano Spalletti is making last-minute changes to his Juventus squad as
the manager looks to ensure his team is in top shape when the transfer
window clos...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment