Isco akipiga shuti la mpira wa adhabu kuipatia bao la kwanza Real Madrid dakika ya 29 katika ushindi wa 2-1 kwenye mchezo wa La Liga dhidi ya wenyeji, Malaga Uwanja wa La Rosaleda usiku wa jana. Bao la pili la Real Madrid iliyomkosa nyota wake, Cristiano Ronaldo jana, lilifungwa na Casemiro dakika ya 63 wakati la Malaga lilifungwa na Diego Rolandakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
White House shooting won’t deter me from Iran war – Trump
-
United States President Donald Trump has insisted that the shooting
incident which disrupted the White House Correspondents’ Dinner will not
slow down hi...
43 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment