Isco akipiga shuti la mpira wa adhabu kuipatia bao la kwanza Real Madrid dakika ya 29 katika ushindi wa 2-1 kwenye mchezo wa La Liga dhidi ya wenyeji, Malaga Uwanja wa La Rosaleda usiku wa jana. Bao la pili la Real Madrid iliyomkosa nyota wake, Cristiano Ronaldo jana, lilifungwa na Casemiro dakika ya 63 wakati la Malaga lilifungwa na Diego Rolandakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Alex Pereira takes down Daniel Cormier in hilarious hallway tussle ahead of
UFC 301... with the commentator jokingly calling for security after being
sent to the floor
-
What started off as sparring ended up with security arriving after Cormier
jokingly called for them. Pereira isn't competing in UFC 301, but is in
attendan...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment