Isco akipiga shuti la mpira wa adhabu kuipatia bao la kwanza Real Madrid dakika ya 29 katika ushindi wa 2-1 kwenye mchezo wa La Liga dhidi ya wenyeji, Malaga Uwanja wa La Rosaleda usiku wa jana. Bao la pili la Real Madrid iliyomkosa nyota wake, Cristiano Ronaldo jana, lilifungwa na Casemiro dakika ya 63 wakati la Malaga lilifungwa na Diego Rolandakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ryan Giggs responds to Premier League Hall of Fame snub as Man United
legend reveals what Ruben Amorim needs to deliver success
-
The former winger is a record 13-time Premier League winner - two more than
his former team-mate Paul Scholes. Giggs is also the competition's all-time
ass...
50 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment