Mshambuliaji Cristiano Ronaldo akimiliki mpira wakati wa mchezo wa La Liga kati ya timu yake, Real Madrid na Athletic Bilbao usiku wa Jumatano uliomalizika kwa sare ya 1-1 Uwanja wa Santiago Bernabeu. Inaki Williams alianza kuwafungia Athletic Bilbao dakika ya 14 kwa pasi ya Inigo Cordoba, kabla ya Ronaldo kuisawazishia Real Madrdi dakika ya 87 kwa pasi ya Luca Modric PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Burnley need a miracle to avoid a quick return to the Championship after
4-1 home defeat by Newcastle, writes RICHARD TANNER
-
RICHARD TANNER AT TURF MOOR: Eddie Howe's team stepped up their bid for
another season of European football - while pushing Vincent Kompany's
Clarets close...
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment