Mshambuliaji Cristiano Ronaldo akimiliki mpira wakati wa mchezo wa La Liga kati ya timu yake, Real Madrid na Athletic Bilbao usiku wa Jumatano uliomalizika kwa sare ya 1-1 Uwanja wa Santiago Bernabeu. Inaki Williams alianza kuwafungia Athletic Bilbao dakika ya 14 kwa pasi ya Inigo Cordoba, kabla ya Ronaldo kuisawazishia Real Madrdi dakika ya 87 kwa pasi ya Luca Modric PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Investigators deem there was no criminal liability in car crash that killed
Diogo Jota and his brother
-
Jota and Silva were killed in a car crash in northern Spain on July 3,
2025, when their Lamborghini veered off the A‑52 motorway near Cernadilla.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment