Mshambuliaji Cristiano Ronaldo akimiliki mpira wakati wa mchezo wa La Liga kati ya timu yake, Real Madrid na Athletic Bilbao usiku wa Jumatano uliomalizika kwa sare ya 1-1 Uwanja wa Santiago Bernabeu. Inaki Williams alianza kuwafungia Athletic Bilbao dakika ya 14 kwa pasi ya Inigo Cordoba, kabla ya Ronaldo kuisawazishia Real Madrdi dakika ya 87 kwa pasi ya Luca Modric PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Is there a right time for a Panenka - as Brentford pay the price?
-
Brentford are beaten by West Ham on penalties as Dango Ouattara is left to
rue a missed Panenka. Is there ever a right rime to take one?
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment