Kipa wa Simba SC, Daniel Panju akiwa ameanguka chini baada ya Ally Yussuf Tigana (hauopo pichani) kuifungia Yanga bao la pili dakika ya 80 katika ushindi wa 2-1 kwenye mechi ya Ngao Ya Jamii Uwanja wa Taifa, sasa Uhuru mjini Dar es Salaam Februari 17, mwaka 2001. Bao la kwanza la Yanga lilifungwa na Edibilly Lunyamila dakika ya 47, ambalo lilikuwa la kusawazisha baada ya Steven Mapunda 'Garrincha' kuanza kuifungia Simba dakika ya 43
Not Minteh: Liverpool's interest in phenomenal £55m forward is leaked
-
Liverpool’s chase for a new right winger has been well documented. Ever
since Mohamed Salah left the club at the end of June speculation has
mounted that A...
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment