Kipa wa Simba SC, Daniel Panju akiwa ameanguka chini baada ya Ally Yussuf Tigana (hauopo pichani) kuifungia Yanga bao la pili dakika ya 80 katika ushindi wa 2-1 kwenye mechi ya Ngao Ya Jamii Uwanja wa Taifa, sasa Uhuru mjini Dar es Salaam Februari 17, mwaka 2001. Bao la kwanza la Yanga lilifungwa na Edibilly Lunyamila dakika ya 47, ambalo lilikuwa la kusawazisha baada ya Steven Mapunda 'Garrincha' kuanza kuifungia Simba dakika ya 43
PSG 'make desperate bid to keep Kylian Mbappe by offering complete control of sporting operations'
-
According to El Chiringuito TV, PSG have offered to make Mbappe 'the owner
of the project' from next season, where they will allow him a say in
changing th...
Dakika 41 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni