Kipa wa Simba SC, Daniel Panju akiwa ameanguka chini baada ya Ally Yussuf Tigana (hauopo pichani) kuifungia Yanga bao la pili dakika ya 80 katika ushindi wa 2-1 kwenye mechi ya Ngao Ya Jamii Uwanja wa Taifa, sasa Uhuru mjini Dar es Salaam Februari 17, mwaka 2001. Bao la kwanza la Yanga lilifungwa na Edibilly Lunyamila dakika ya 47, ambalo lilikuwa la kusawazisha baada ya Steven Mapunda 'Garrincha' kuanza kuifungia Simba dakika ya 43
LeBron James Dishes on Emotional IQ for NBA Longevity: 'Be a F--king Human
Being'
-
LeBron James has sometimes seemed immortal during his NBA career, but he
says his humanity is the key to his longevity. James discussed why he's
seen some…
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment