Kipa wa Simba SC, Daniel Panju akiwa ameanguka chini baada ya Ally Yussuf Tigana (hauopo pichani) kuifungia Yanga bao la pili dakika ya 80 katika ushindi wa 2-1 kwenye mechi ya Ngao Ya Jamii Uwanja wa Taifa, sasa Uhuru mjini Dar es Salaam Februari 17, mwaka 2001. Bao la kwanza la Yanga lilifungwa na Edibilly Lunyamila dakika ya 47, ambalo lilikuwa la kusawazisha baada ya Steven Mapunda 'Garrincha' kuanza kuifungia Simba dakika ya 43
Gov Alia ascents to electricity law, says law to deliver reliable
electricity, stimulate economic devt
-
Governor Hyacinth Alia has signed into law, the Benue State Electricity
Law, 2026.
The post Gov Alia ascents to electricity law, says law to deliver reli...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment