Marouane Fellaini akishangilia kishujaa baada ya kuifungia bao la ushindi Manchester United dakika ya 90 na ushei kufuatia kutokea benchi dakika ya 64 kuchukua nafasi ya Jesse Lingard ikiilaza Arsenal 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa leo Uwanja wa Old Trafford. Paul Pogba alianza kuifungia Man United dakika ya 16 kabla ya Henrikh Mkhitaryan kuisawazishia Arsenal dakika ya 51 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
🏆 Champions League returns: all you need to know about the last 16
-
The UEFA Champions League enters its most exciting phase. After a draw that
resulted in matchups worthy of an early final, the 16 best teams on the
contine...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment