Mshambuliaji Mmisri, Mohamed Salah akifuua shuti jirani na lango la Stoke City lakini likaenda juu katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara leo Uwanja wa Anfield timu hizo zikitoka sare ya 0-0. Danny Ings pia alifunga bao ambao lilikataliwa akiambiwa alikuwa anezidi na Liverpool wakalalamikia kunyimwa penalti baada ya Erik Pieters kushika kwa mkono mpira wa krosi ya Georginio Wijnaldum PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Burna Boy’s grandfather hails Nigeria’s dominance in Afrobeat
-
Veteran broadcaster and music executive, Benson Idonije, has praised
Nigeria’s continued leadership in Afrobeat music, saying the country
remains the dri...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment