Mshambuliaji Mmisri, Mohamed Salah akifuua shuti jirani na lango la Stoke City lakini likaenda juu katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara leo Uwanja wa Anfield timu hizo zikitoka sare ya 0-0. Danny Ings pia alifunga bao ambao lilikataliwa akiambiwa alikuwa anezidi na Liverpool wakalalamikia kunyimwa penalti baada ya Erik Pieters kushika kwa mkono mpira wa krosi ya Georginio Wijnaldum PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How Penn State’s ‘Pablo Pledgescobar’ was caught in frat-house cocaine ring
sting
-
Agostino Abbatiello, 24, is also being called ‘Austin Powders,’
‘Nostrildamus’ and ‘Kirk Cocaine’ on social media. He’s among 14 people
charged over an all...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment