Mshambuliaji Mmisri, Mohamed Salah akifuua shuti jirani na lango la Stoke City lakini likaenda juu katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara leo Uwanja wa Anfield timu hizo zikitoka sare ya 0-0. Danny Ings pia alifunga bao ambao lilikataliwa akiambiwa alikuwa anezidi na Liverpool wakalalamikia kunyimwa penalti baada ya Erik Pieters kushika kwa mkono mpira wa krosi ya Georginio Wijnaldum PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'These English pundits are clueless!' Micah Richards mocked as he gets his
Champions League predictions totally WRONG after Man City suffer penalty
heartbreak against Real Madrid and Arsenal crash out against Bayer Munich
-
Predicting the outcome of the Champions League quarter-finals can be a
fool's errand, as Michael Richards found out the hard way.
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment