Winga Gareth Bale (katikati) akipongezwa na wachezaji wenzake baada ya kuifungia Real Madrid bao la kwanza dakika ya nane katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Leganes kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid. Bao la pili la Real Madrid ambayo ilimpumzisha nyota wake, Cristiano Ronaldo lilifungwa na Borja Mayoral dakika ya 45, kabla ya Darko Brasanac kuifungia Leganes la kufutia machozi dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Christian Eriksen speaks out on his shocking collapse as he is discharged
from hospital - and says it was 'very different from 2021' - as Danish
pundit tells him: Retire for your wife's sake
-
Christian Eriksen has been discharged from hospital. In a statement
released this afternoon he said: 'Receiving a shock from my ICD has had a
major impact'.
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment