Winga Gareth Bale (katikati) akipongezwa na wachezaji wenzake baada ya kuifungia Real Madrid bao la kwanza dakika ya nane katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Leganes kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid. Bao la pili la Real Madrid ambayo ilimpumzisha nyota wake, Cristiano Ronaldo lilifungwa na Borja Mayoral dakika ya 45, kabla ya Darko Brasanac kuifungia Leganes la kufutia machozi dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Andrew Symonds' sister opens up about her family's heartbreak, Townsville, Queensland
-
Andrew Symonds' sister Louise struggled to hold back the tears as she spoke
with Daily Mail Australia about her brother's shock death near Townsville,
Quee...
Dakika 46 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni