Mshambuliaji Olivier Giroud akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 46 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Southampton kwenye Nusu Fainali ya Kombe la FA jana Uwanja wa Wembley, London. Bao la pili lilifungwa na Alvaro Morata dakika ya 82 na sasa The Blues itakutana na Manchester United Mei 19 katika fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Contentious industrial development in Whitehorse prompts public backlash
-
The Yukon government is proposing to build a new industrial subdivision in
the area of popular recreational trails.
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment