Mshambuliaji Olivier Giroud akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 46 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Southampton kwenye Nusu Fainali ya Kombe la FA jana Uwanja wa Wembley, London. Bao la pili lilifungwa na Alvaro Morata dakika ya 82 na sasa The Blues itakutana na Manchester United Mei 19 katika fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nvidia Makes Another Bet on the AI Power Bottleneck
-
The chipmaker is investing in data center developer Cloverleaf
Infrastructure.
40 seconds ago



.png)
0 comments:
Post a Comment