Shane Duffy (kushoto) wa Brighton & Hove Albion akiwa juu kuwania mpira na Harry Kane wa Tottenham Hotspur katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa Jumanne Uwanja wa The AMEX, Falmer, East Sussexnd timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Kane alianza kuifungia Spurs dakika ya 48 kabla ya Pascal Gross kuwasawazishia wenyeji kwa penalti dakika ya 50 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Spalletti wants two top players in each role at Juventus
-
Luciano Spalletti is making last-minute changes to his Juventus squad as
the manager looks to ensure his team is in top shape when the transfer
window clos...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment