Shane Duffy (kushoto) wa Brighton & Hove Albion akiwa juu kuwania mpira na Harry Kane wa Tottenham Hotspur katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa Jumanne Uwanja wa The AMEX, Falmer, East Sussexnd timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Kane alianza kuifungia Spurs dakika ya 48 kabla ya Pascal Gross kuwasawazishia wenyeji kwa penalti dakika ya 50 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Espanyol manager praises Mourinho ahead of Real Madrid face-off: ‘He’s one
of the best in history’
-
RCD Espanyol manager Manolo Gonzalez spoke to the media ahead of Saturday’s
meeting with Real Madrid, now coached by Jose Mourinho, and had nothing but
pra...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment