Cesc Fabregas akipongezwa na mchezaji mwenzake Eden Hazard huku na mchezaji mwenzao mpya, Olivier Giroud kutoka Arsenal akifurahia nyuma yao baada ya kuifungia Chelsea bao pekee dakika ya nne ikiwalaza wenyeji Swansea City 1-0 Uwanja wa Liberty usiku wa jana katika mchezo wa Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Video: Steelers' Russell Wilson Takes Batting Practice Ahead of Pirates 1st
Pitch
-
The Pittsburgh Pirates have an unexpected new addition to their roster.
Steelers quarterback Russell Wilson took batting practice at PNC Park
before throwing…
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment