Matt Ritchie (katikati) akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Newcastle United dakika ya 68 ikitoka nyuma na kushinda 2-1 dhidi ya Arsenal Uwanja wa St James' Park katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Arsenal ilitangulia kwa bao la Mfaransa, Alexandre Lacazette dakika ya 14, kabla ya Ayoze Perez kuisawazishia Newcastle dakika ya 29 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How Penn State’s ‘Pablo Pledgescobar’ was caught in frat-house cocaine ring
sting
-
Agostino Abbatiello, 24, is also being called ‘Austin Powders,’
‘Nostrildamus’ and ‘Kirk Cocaine’ on social media. He’s among 14 people
charged over an all...
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment