Matt Ritchie (katikati) akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Newcastle United dakika ya 68 ikitoka nyuma na kushinda 2-1 dhidi ya Arsenal Uwanja wa St James' Park katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Arsenal ilitangulia kwa bao la Mfaransa, Alexandre Lacazette dakika ya 14, kabla ya Ayoze Perez kuisawazishia Newcastle dakika ya 29 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mexico beat Czech Republic to maintain 100% winning record
-
Mexico score three second-half goals to eliminate the Czech Republic from
the World Cup and end the group phase with maximum points.
10 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment