Matt Ritchie (katikati) akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Newcastle United dakika ya 68 ikitoka nyuma na kushinda 2-1 dhidi ya Arsenal Uwanja wa St James' Park katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Arsenal ilitangulia kwa bao la Mfaransa, Alexandre Lacazette dakika ya 14, kabla ya Ayoze Perez kuisawazishia Newcastle dakika ya 29 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea vs Leeds - FA Cup LIVE: Callum McFarlane returns to dugout as
crisis-hit Blues face Daniel Farke's men in FA Cup semi-final
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Chelsea take on Leeds at Wembley in the FA Cup semi-final.
54 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment