Matt Ritchie (katikati) akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Newcastle United dakika ya 68 ikitoka nyuma na kushinda 2-1 dhidi ya Arsenal Uwanja wa St James' Park katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Arsenal ilitangulia kwa bao la Mfaransa, Alexandre Lacazette dakika ya 14, kabla ya Ayoze Perez kuisawazishia Newcastle dakika ya 29 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Crystal Palace 2-2 KuPS: How did the Eagles' youngsters fare, which star
took his chance AGAIN - and was Oliver Glasner right to prioritise the
Premier League?
-
WILL PICKWORTH AT SELHURST PARK: The draw meant the Eagles finished 10th in
the Conference League table, and they will now be forced into two extra
fixture...
51 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment