Matt Ritchie (katikati) akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Newcastle United dakika ya 68 ikitoka nyuma na kushinda 2-1 dhidi ya Arsenal Uwanja wa St James' Park katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Arsenal ilitangulia kwa bao la Mfaransa, Alexandre Lacazette dakika ya 14, kabla ya Ayoze Perez kuisawazishia Newcastle dakika ya 29 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Spalletti wants two top players in each role at Juventus
-
Luciano Spalletti is making last-minute changes to his Juventus squad as
the manager looks to ensure his team is in top shape when the transfer
window clos...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment