Marcelo Brozovic akishangilia baada ya kuifungia Inter Milan bao la tatu dakika ya 60 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Cagliari kwenye mchezo wa Serie A usiku wa Jumanne Uwanja wa Giuseppe Meazza mjini Milan. Mabao mengine ya Inter yamefungwa na Joao Cancelo dakika ya tatu, Mauro Icardi dakika ya 49 na Ivan Perisic dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bombshell new documentary lifts the lid on Jordon Hudson's age-gap romance
with Bill Belichick... from PR disasters to leaked phone calls
-
The romance, between a 24-year-old former cheerleader and the NFL's
greatest ever coach, has been the subject of explosive reports throughout
his tenure wi...
54 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment