Marcelo Brozovic akishangilia baada ya kuifungia Inter Milan bao la tatu dakika ya 60 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Cagliari kwenye mchezo wa Serie A usiku wa Jumanne Uwanja wa Giuseppe Meazza mjini Milan. Mabao mengine ya Inter yamefungwa na Joao Cancelo dakika ya tatu, Mauro Icardi dakika ya 49 na Ivan Perisic dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Celtics cruise past Heat to reach play-off semis
-
The Boston Celtics maintain their good form to cruise past the Miami Heat
into the Eastern Conference play-off semi-finals.
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment