Marcelo Brozovic akishangilia baada ya kuifungia Inter Milan bao la tatu dakika ya 60 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Cagliari kwenye mchezo wa Serie A usiku wa Jumanne Uwanja wa Giuseppe Meazza mjini Milan. Mabao mengine ya Inter yamefungwa na Joao Cancelo dakika ya tatu, Mauro Icardi dakika ya 49 na Ivan Perisic dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
BMW iX3 review: Electric SUV with 500-mile range marks new era
-
Neue Klasse technology, 800-volt charging and impressive efficiency make
this model one of the most advanced electric SUVs yet
57 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment