Marcelo Brozovic akishangilia baada ya kuifungia Inter Milan bao la tatu dakika ya 60 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Cagliari kwenye mchezo wa Serie A usiku wa Jumanne Uwanja wa Giuseppe Meazza mjini Milan. Mabao mengine ya Inter yamefungwa na Joao Cancelo dakika ya tatu, Mauro Icardi dakika ya 49 na Ivan Perisic dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2026 Little League World Series: Iowa, Curaçao both pull off combined
no-hitters against California and Japan
-
After great starts from Cooper Thissen and Jaymiëll Martina, Anthony
Johnson Jr. and Giendry Ryan stepped in to close out the no-no for Iowa and
Curaçao, r...
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment