Chris Smalling akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la tatu dakika ya 69 katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Manchester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Man City ilitangulia kwa mabao ya Vincent Kompany dakika ya 25 na Ilkay Gundogan dakika ya 30, kabla ya Paul Pogba kuifungia mabao mawili Man United ya kusawazisha dakika za 53 na 55 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Spain vs Austria - World Cup last 32 LIVE: European champions seek first
knockout win since 2010 triumph
-
Follow Daily Mail Sport's live coverage of the latest updates as Spain take
on Austria in the last 32 of the World Cup in Los Angeles.
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment