Chris Smalling akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la tatu dakika ya 69 katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Manchester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Man City ilitangulia kwa mabao ya Vincent Kompany dakika ya 25 na Ilkay Gundogan dakika ya 30, kabla ya Paul Pogba kuifungia mabao mawili Man United ya kusawazisha dakika za 53 na 55 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England rugby star Billy Vunipola arrested after violent incident at pub in
Majorca with police tasering him twice after he threatened customers and
staff with bottles and chairs
-
The 31-year-old had to be tasered twice after police rushed to a bar called
Epic in the island capital Palma following calls from security staff.
48 minutes ago
0 comments:
Post a Comment