Marco Asensio akishangilia kibabe baada ya kuifungia bao la ushindi Real Madrid dakika ya 57 ikiilaza 2-1 Bayern Munich usiku huu Uwanja wa Allianz Arena katika Nusu Fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Bayern Munich walitangulia kwa bao la Josh Kimmich dakika ya 28 kabla ya Marcelo kuisawazishia Real dakika ya 44 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Premier League club summer 2022 friendly fixtures
-
The 2021/22 English Premier League season is now behind us and teams are
gearing up for the 2022/23 campaign. The new season is set to kick off on
6 Augus...
Dakika 8 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni