Marco Asensio akishangilia kibabe baada ya kuifungia bao la ushindi Real Madrid dakika ya 57 ikiilaza 2-1 Bayern Munich usiku huu Uwanja wa Allianz Arena katika Nusu Fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Bayern Munich walitangulia kwa bao la Josh Kimmich dakika ya 28 kabla ya Marcelo kuisawazishia Real dakika ya 44 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nato says 'no provision' to expel members after report US could seek to
suspend Spain
-
An internal Pentagon email reportedly outlines options to punish allies
over a perceived lack of support for Iran war.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment