Bondia Muingereza Amir Khan (kushoto) akimtazama mpinzani wake, Mcanada Phil Lo Greco aliyeanguka chini (kulia) na kushindwa kuendelea na pambano la uzito wa Super Welter sekunde ya 40 ukumbi wa Echo Arena Jijini Liverpool usiku wa Jumamosi, hiyo ikiwa mara ya pili baada ya awali kuanguka sekunde ya 18 na kuinuka kuendelea. Khan alikuwa anapigana tena baada ya kusimama kwa takriban miaka miwili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Benfica's Prestianni banned for homophobic conduct in Real Madrid tie
-
Gianluca Prestianni is given a six-game ban by Uefa for homophobic conduct
during Benfica's Champions League knockout play-off matched with Real
Madrid in ...
52 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment