Bondia Muingereza Amir Khan (kushoto) akimtazama mpinzani wake, Mcanada Phil Lo Greco aliyeanguka chini (kulia) na kushindwa kuendelea na pambano la uzito wa Super Welter sekunde ya 40 ukumbi wa Echo Arena Jijini Liverpool usiku wa Jumamosi, hiyo ikiwa mara ya pili baada ya awali kuanguka sekunde ya 18 na kuinuka kuendelea. Khan alikuwa anapigana tena baada ya kusimama kwa takriban miaka miwili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Agent Rio! Ferdinand jokes he discussed Man United job with Thomas Tuchel
amid the Bayern manager's links to Old Trafford - and claims the German
will have some 'big offers' when he leaves
-
Tuchel and Ferdinand got cosy in the build-up to Bayern''s Champions League
clash at Real Madrid, whispering, sharing laughs, and slapping each other.
43 minutes ago
0 comments:
Post a Comment