Mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford ameonyesha jezi hii Real Madrid aliyopewa zawadi na Cristiano Ronaldo ambaye ameisaini na kuweka ujumbe; "Kwa Marcus, endelea kufanya kazi nzuri". Ronaldo ameendelea kuonyesha mapenzi yake kwa chipukizi hiyo, hii ikiwa zawadi ya pili anampa baada ya kiatu cha Nike Air Max 97 CR7 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nato says 'no provision' to expel members after report US could seek to
suspend Spain
-
An internal Pentagon email reportedly outlines options to punish allies
over a perceived lack of support for Iran war.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment