Mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford ameonyesha jezi hii Real Madrid aliyopewa zawadi na Cristiano Ronaldo ambaye ameisaini na kuweka ujumbe; "Kwa Marcus, endelea kufanya kazi nzuri". Ronaldo ameendelea kuonyesha mapenzi yake kwa chipukizi hiyo, hii ikiwa zawadi ya pili anampa baada ya kiatu cha Nike Air Max 97 CR7 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cesar Azpilicueta in exit talks with Thomas Tuchel
-
Chelsea captain Cesar Azpilicueta has held exit talks with the club's
manager Thomas Tuchel. Marca reports that the Spaniard sat Tuchel and the
club's mana...
Dakika 2 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni