Mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford ameonyesha jezi hii Real Madrid aliyopewa zawadi na Cristiano Ronaldo ambaye ameisaini na kuweka ujumbe; "Kwa Marcus, endelea kufanya kazi nzuri". Ronaldo ameendelea kuonyesha mapenzi yake kwa chipukizi hiyo, hii ikiwa zawadi ya pili anampa baada ya kiatu cha Nike Air Max 97 CR7 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bill Belichick finally breaks silence on Jordon Hudson beach yoga photo
after dodging question in CBS interview
-
After dodging questions about a particular beach photo op with girlfriend
Jordon Hudson, North Carolina head coach Bill Belichick is talking about
the famo...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment