Mshambuliaji Mfaransa, Antoine Griezmann akishangilia baada ya kuifungia Atletico Madrid bao la kusawazisha dakika ya 82 katika sare ya 1-1 na Arsenal kwenye Nusu Fainali ya kwanza ya UEFA Europa League usiku wa Alhamisi Uwanja wa Emirates, London. Arsenal ilitangulia kwa bao la mshambuliaji wake Mfaransa pia, Alexandre Lacazette dakika ya 61 huku Atletico ikicheza pungufu tangu dakika ya 10, kufuatia beki wake wa kulia, Sime Vrsaljko kutolewa kwa kadi nyekundu baada ya kuonyeshwa kadi ya njano na dakika moja baadaye, kocha Muargentina wa Atletico Madrid, Diego Simeone naye aklitolewa nje PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Christian Eriksen speaks out on his shocking collapse as he is discharged
from hospital - and says it was 'very different from 2021' - as Danish
pundit tells him: Retire for your wife's sake
-
Christian Eriksen has been discharged from hospital. In a statement
released this afternoon he said: 'Receiving a shock from my ICD has had a
major impact'.
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment