Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akibinuka tik tak kuwafungia Los Blancos bao la pili dakika ya 64 baada ya kufunga la kwanza dakika ya nne katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Juventus kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Allianz mjini Turin. Bao la tatu la Real Madrid lilifungwa Marcelo kwa pasi ya Ronaldo, huku Juventus ikimpoteza mchezaji wake, Paulo Dybala aliyetolewa nje kwa kadio nyekundu baada ya kuonyeshwa kadi ya pili ya njano dakika ya 66 kufuatia kumuinulia mguu kichwani Dani Carvajal PICHA ZAIDI GONGA HAPA
World Cup Breakfast 24: Lionel Messi's Argentina forced to EXTRA TIME
against Cape Verde, why Egypt stars watched Kylian Mbappe highlights during
their penalties, highlights - and what to look out for today
-
Hello and welcome to Daily Mail Sport's World Cup Breakfast from day 24 at
the tournament - your one-stop shop for everything you've missed overnight
in No...
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment