Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akibinuka tik tak kuwafungia Los Blancos bao la pili dakika ya 64 baada ya kufunga la kwanza dakika ya nne katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Juventus kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Allianz mjini Turin. Bao la tatu la Real Madrid lilifungwa Marcelo kwa pasi ya Ronaldo, huku Juventus ikimpoteza mchezaji wake, Paulo Dybala aliyetolewa nje kwa kadio nyekundu baada ya kuonyeshwa kadi ya pili ya njano dakika ya 66 kufuatia kumuinulia mguu kichwani Dani Carvajal PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Errands instead of espresso martinis? Why low-key hangs are redefining
friendship
-
All the hangouts currently en vogue, from admin nights to chore hangs to
body doubling, fit this ethos of trying to cultivate mundane intimacy in
hard times.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment