Wachezaji wa Bayern Munich wakimpongeza mwenzao, Frank Ribery (kushoto) baada ya krosi yake kumbabatiza Jesus Navas na kujifunga kuwapatia wapinzani bao la kusawazisha dakika ya 37 kufuatia Pablo Sarabia kuanza kuifungia Sevilla dakika ya 32 Uwanja wa Ramon Pizjuan katika mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Thiago Alcântara aliifungia Bayern Munich bao la pili na la ushindi dakika ya 68 akimalizia pasi ya Ribery ikiwalaza Sevilla 2-1 nchini Hispania PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mayhem at end of Nuggets-Timberwolves playoff game as Nikola Jokic sparks
huge brawl after Jaden McDaniels' controversial act
-
As his team moved 3-1 ahead in the series, Timberwolves star Jaden
McDaniels angered Nuggets rival Nikola Jokic when he ran through
unchallenged and scored...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment