Wachezaji wa Bayern Munich wakimpongeza mwenzao, Frank Ribery (kushoto) baada ya krosi yake kumbabatiza Jesus Navas na kujifunga kuwapatia wapinzani bao la kusawazisha dakika ya 37 kufuatia Pablo Sarabia kuanza kuifungia Sevilla dakika ya 32 Uwanja wa Ramon Pizjuan katika mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Thiago Alcântara aliifungia Bayern Munich bao la pili na la ushindi dakika ya 68 akimalizia pasi ya Ribery ikiwalaza Sevilla 2-1 nchini Hispania PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WWE Denies Rumors The Rock Was 3 Hours Late for WrestleMania 40 Main Event
Match
-
WWE has refuted a report that The Rock was late to arrive at WrestleMania
40 for his main-event match on Night 1. While reporting on The Rock's
"chronic…
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment