Neymar Junior, Kylian Mbappe na Edinson Cavani wakipongezana baada ya wote kufunga katika ushindi wa 6-2 wa Paris Saint-Germain dhidi ya Bordeaux kwenye mchezo wa Ligue 1, Ufaranda Jumamosi Uwanja wa Parc des Princes mjini Paris. Neymar alifunga dakika ya tano na 40 kwa penalti, wakati Cavani alifunga dakika ya 12 na Mbappe dakika ya 58. Mabao mengine ya PSG yamefungwa na Thomas Meunier dakika ya 21 na Julian Draxler dakika ya 45 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Patrice Evra puts his £3.5m five-bedroom Manchester mansion on the market -
but why is there a mural of a Man City legend on wall?
-
Manchester United legend Patrice Evra is selling his former home - which
features a mini mural of an arch-rival who once rented it.
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment