Neymar Junior, Kylian Mbappe na Edinson Cavani wakipongezana baada ya wote kufunga katika ushindi wa 6-2 wa Paris Saint-Germain dhidi ya Bordeaux kwenye mchezo wa Ligue 1, Ufaranda Jumamosi Uwanja wa Parc des Princes mjini Paris. Neymar alifunga dakika ya tano na 40 kwa penalti, wakati Cavani alifunga dakika ya 12 na Mbappe dakika ya 58. Mabao mengine ya PSG yamefungwa na Thomas Meunier dakika ya 21 na Julian Draxler dakika ya 45 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Giants' John Mara Expects to Retain Brian Daboll, Joe Schoen for 2025 NFL
Season
-
New York Giants owner John Mara emphatically stated Wednesday that the team
will not be moving on from general manager Joe Schoen and head coach Brian
Daboll…
45 minutes ago
0 comments:
Post a Comment