• HABARI MPYA

        Thursday, October 19, 2017

        KOCHA MPYA MSAIDIZI SIMBA AANZA KAZI MARA MOJA

        Kocha Mkuu wa Simba, Mcameroon, Joseph Marius Omog (katikati) na Kocha wa Makipa, Muharami Mohammed 'Shilton' (kushoto) wakimuelekeza jambo Kocha mpya Msaidizi, Mrundi Masudi Juma (kulia) baada ya kuwasili mazoezini Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam leo kuanza kazi 
        Hapa Omog na Shilton wakimpa taarifa muhimu za timu Juma ambaye amewasili mchana wa leo
        Hapa Masudi Juma anasalimiana na Nahodha wa timu, Mzimbabwe, Method Mwanjali 
        Masudi Juma akipewa maelekezo kutoka kwa Kocha Mkuu, Joseph Omog  
        Hapa Masudi Juma anazungumza na kiungo Mnyarwanda, Haruna Niyonzima ambaye alicheza naye Rayon

        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: KOCHA MPYA MSAIDIZI SIMBA AANZA KAZI MARA MOJA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry