Mshambuliaji Mfaransa, Olivier Giroud akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia bao pekee la ushindi Arsenal dakika ya 85 baada ya kazi nzuri ya ushirikiano wa Waingereza Jack Wilshere na Theo Walcott wakiwafunga wenyeji Red Star Belgrade 1-0 katika mchezo wa Kundi H Europa League usiku wa jana Uwanja wa Rajko Mitic mjini Belgrade, Serbia. Dakika 10 za mwiwho Red Star ilicheza pungufu baada ya beki wake wa kushoto, Milan Rodic kutolewa kwa kadi nyekundu kufuatia kuonyeshwa kadi ya pili ya njano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Will Still announces he is LEAVING Lens to be closer to his Sky Sports
presenter girlfriend after she revealed she has a brain infection following
cancer battle
-
Still, who has spent the majority of his coaching career outside of
England, has been linked with clubs in the Premier League and the
Championship.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment