Mshambuliaji Mfaransa, Olivier Giroud akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia bao pekee la ushindi Arsenal dakika ya 85 baada ya kazi nzuri ya ushirikiano wa Waingereza Jack Wilshere na Theo Walcott wakiwafunga wenyeji Red Star Belgrade 1-0 katika mchezo wa Kundi H Europa League usiku wa jana Uwanja wa Rajko Mitic mjini Belgrade, Serbia. Dakika 10 za mwiwho Red Star ilicheza pungufu baada ya beki wake wa kushoto, Milan Rodic kutolewa kwa kadi nyekundu kufuatia kuonyeshwa kadi ya pili ya njano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Furious NFL star Puka Nacua sparks yet more controversy with locker room
tweet that will likely land him a HUGE fine
-
The Rams were on the end of a gutting overtime loss to their rival Seattle
Seahawks on Thursday, with a bizarre two-point conversion at the heart of
the ho...
41 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment