Mshambuliaji Mbrazil, Roberto Firmino akiwa na mchezaji mwenzake Dejan Lovren wakishangilia baada ya kuifungia Liverpool mabao mawili dakika za nne na 54 katika ushindi wa 7-0 dhidi ya Maribor Uwanja wa Ljudski vrt mjini Maribor kwenye mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine ya Liverpool yalifungwa na Mohamed Salah mawili pia dakika za 19 na 39, Philippe Coutinho dakika ya 13, 86' Alex Oxlade-Chamberlain dakika ya 86 na Trent Alexander-Arnold dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Trade disruption from Iran war ‘not good for the British economy’, Reeves
says
-
The Chancellor called for rapid de-escalation of the conflict to protect
the UK economy.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment