Mshambuliaji Mbrazil, Roberto Firmino akiwa na mchezaji mwenzake Dejan Lovren wakishangilia baada ya kuifungia Liverpool mabao mawili dakika za nne na 54 katika ushindi wa 7-0 dhidi ya Maribor Uwanja wa Ljudski vrt mjini Maribor kwenye mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine ya Liverpool yalifungwa na Mohamed Salah mawili pia dakika za 19 na 39, Philippe Coutinho dakika ya 13, 86' Alex Oxlade-Chamberlain dakika ya 86 na Trent Alexander-Arnold dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Trump says US 'not satisfied' with Iran deal yet
-
The US president says he believes Iran wants to reach a deal but there is
still no agreement on its terms.
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment