Basi aina ya Isuzu ambalo timu ya Mbao FC ya Mwanza imekabidhiwa leo mjini Dar es Salaam na wadhamini wao, kampuni ya GF Trucks & Equipment kwa ajili ya safari zao kwenye mechi mbalimbali za Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara
Mwonekano wa basi hilo kwa mbele ambalo sasa litapunguza bajeti ya uendeshaji wa timu hiyo
Ni basi maalum kwa ajili ya wachezaji na benchi la Ufundi
Mkurugenzi wa kampuni ya GF Trucks & Equipment, Alijawa Karmali (kulia) akimkabidhi mfano wa funguo ya basi, Mwenyekiti wa Mbao FC, Solly Zephania Njashi (kushoto). Katikati ni mlezi wa timu hiyo, Mbunge wa Ilemela, Mwanza Angelina Mabula
EU governments back Italy's Comporti for next head of ESMA
-
BRUSSELS, July 23 (Reuters) - Ambassadors of European Union governments
backed on Wednesday Italy's Carlo Comporti as the next head of the European
Securit...
3 hours ago


.png)
0 comments:
Post a Comment