Kelechi Iheanacho akishangilia baada ya kutokea benchi kuchukua nafasi ya Sergio Aguero usiku wa jana na kuifungia Manchester City bao la tano dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Huddersfield kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la FA usiku wa jana Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya City yalifungwa na Leroy Sane dakika ya 30, Sergio Aguero kwa penalti dakika ya 35 na dakika ya 73 na Pablo Zabaleta dakika ya 38, wakati la Huddersfield lilifungwa na Harry Bunn dakika ya saba na City sasa itakutana na Middlesbrough kwenye Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Max Verstappen says Adrian Newey's shock departure will NOT impact his
future at Red Bull for 'the moment'
-
The reigning world champion addressed speculation he's reconsidering his
future at the team ahead of the Miami Grand Prix Thursday after news broke
of Newe...
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment